- 2,653 viewsDuration: 2:18Serikali ya kaunti ya Mombasa imetangaza hali ya tahadhari kufuatia mvua kubwa inayotarajiwa kunya kuanzia wiki hii. Wataalamu wa hali ya hewa wakitabiri mvua ya hadi milimita 150, kiwango kinachoweza kusababisha mafuriko. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya