- 1,016 viewsDuration: 2:54MP Wilberforce Oundo: Hii ni siku ya aibu sana kwa sababu Baba aliacha chama kikiwa imara na kama chama cha kutetea maslahi ya Wakenya, lakini wale walioachiwa wamekuwa tumbocraft na wamenunuliwa na Ruto. Sisi ambao tuko hapa ndio wanachama wa kweli wa ODM