- 258 viewsDuration: 2:55Ni afueni kwa mamia ya wanafunzi wafugaji kutoka kaunti ya samburu kufuatia kuasisiwa kwa mpango wa Nkalup ambao unalenga kufanikisha ujenzi wa makanisa elfu moja kaunti hiyo huku makanisa hayo yakitarajiwa kutumika kama shule za chekechea siku za wiki na jumapili kuwa sehemu za maabadi.