Skip to main content
Skip to main content

Mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Lamu watarajiwa kuongeza ajira

  • | Citizen TV
    3,238 views
    Duration: 2:51
    Mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta unaotarajiwa kuanzishwa katika kaunti ya Lamu na mfanyabiashara Aliko Dangote unatarajiwa kufungua fursa nyingi za ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi katika eneo hilo.