Skip to main content
Skip to main content

Msako wafanywa kunasa magenge ya vijana wahalifu

  • | Citizen TV
    495 views
    Duration: 2:15
    Idara ya usalama Mjini Malindi, kaunti ya Kilifi sasa inaripoti mafanikio katika juhudi za kukabiliana na magenge ya vijana wanaojulikana kama Mawoza baada ya kuwakamata na kuwafungulia mashtaka zaidi ya vijana 350.