Skip to main content
Skip to main content

Mshukiwa mkuu wa mauaji ya Joy Kanini azuiliwa rumande kwa siku 21

  • | Citizen TV
    2,632 views
    Duration: 1:18
    Mshukiwa mkuu katika mauaji ya kinyama ya mfanyabiashara wa Nyeri mwenye umri wa miaka 25, Joy Kanini, ataendelea kuzuiliwa rumande kwa siku 21.