21 May 2026 7:09 pm | Citizen TV 18 views Maafisa wanaochunguza mauaji ya mwanamziki Racheal Wandeto wamemfikisha mshukiwa mmoja mahakamani. Mahakama imewapa wachunguzi muda wa siku 10 zaidi kuendeleza uchunguzi kuhusiana na kesi hiyo.