Skip to main content
Skip to main content

Msichana aliyedhaniwa kufariki amerejea nyumbani Kisii

  • | Citizen TV
    12,671 views
    Duration: 3:01
    Msichana aliyedhaniwa kufariki na kuzikwa miezi minane iliyopita aliduwaza kijiji kizima huko Nyaribari Chache baada ya kurejea nyumbani akiwa buheri wa afya. Sarah Kwamboka alijitokeza baada ya mazishi yake kuandaliwa mwezi Februari mwaka huu, baada ya kuripotiwa kuhusika kwenye ajali ya barabarani.