Skip to main content
Skip to main content

Msongamano wa magari wa saa 20 washuhudiwa Nakuru

  • | Citizen TV
    33 views
    Msongamano wa magari ulishuhudiwa kwa zaidi ya saa ishirini kwenye barabara kuu ya Nakuru kuelekea Eldoret. Msongamano huo ulienea kutoka eneo la Sobea, Mau- Summit hadi Timboroa. Maafisa wa usalama wanasema kuwa msongoamano huo ulichangiwa na gari moja kuharibikia barabarani. Na kama anavyoarifu Maryanne Nyambura, wasafiri waliolala barabarani wanasimulia mahangaiko yao.