Skip to main content
Skip to main content

Mtoto wa miaka 4 alisombwa na maji Chemosit, Kericho

  • | Citizen TV
    360 views
    Duration: 1:38
    Wakazi wa eneo la Chemosit, kaunti ndogo ya Bureti kaunti ya Kericho wanaendelea kuutafuta mwili wa mtoto wa miaka minne aliyesombwa na maji ya mto Chemosit siku tano zilizopita