Skip to main content
Skip to main content

Mtoto wa miaka mitatu apotea Likoni, mshukiwa atoweka

  • | Citizen TV
    653 views
    Duration: 2:30
    Familia moja huko Likoni, Mombasa, inamsaka mtoto wa miaka mitatu aliyetoweka nyumbani tarehe 20 Machi mwaka huu. Kulingana na ripoti ya polisi, jirani ambaye anadaiwa na familia kumuiba mtoto huyo, alionekana kuwa mjini Voi mara ya mwisho. Juhudi za kumtapa mshukiwa zimegonga mwamba huku wanaharakati Mombasa wakidai visa hivi vimeongezeka mno Mombasa.