Skip to main content
Skip to main content

Mume wa Rais wa Tanzania afariki dunia

  • | BBC Swahili
    65,349 views
    Duration: 35s
    Mwenza wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir Hassan, amefariki dunia Septemba 7, 2026. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Makamu wa Rais wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, Hafidh Ameir Hassan amefariki wakati akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa moyo Zanzibar. #bbcswahili #samiasuluhuhassan #tanzania Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw