Skip to main content
Skip to main content

Murkomen: Juhudi za pamoja zahitajika kutokomeza ugaidi nchini

  • | KBC Video
    95 views
    Duration: 2:31
    Ndoa za mapema na za kulazimishwa zimetajwa kuwa miongoni mwa aina mbaya zaidi za uhalifu katika eneo la kaskazini ya Kenya. Waziri wa usalama wa taifa, Kipchumba Murkomen, aliyezungumza katika kaunti ya Wajir aliwaonya wale wanaolazimisha wasichana wadogo kuingia kwenye ndoa kwamba watakabiliwa kwa mujibu wa sheria. Giverson Maina alizuru kaunti ya Wajir na kutuandalia taarifa ifuatayo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive