Skip to main content
Skip to main content

Muungano wa walipa ushuru waonya maisha yataathiri mno kutokana na bei ghali ya mafuta

  • | Citizen TV
    399 views
    Duration: 1:35
    Muungano wa Kitaifa wa Walipa Ushuru (NTA) umewataka wadau katika sekta ya uchukuzi kuepuka kutoza nauli za kupindukia baada ya bei ya mafuta kupanda . Katika taarifa yao, muungano huo umeonya kuwa baadhi ya wahudumu wa matatu wanatumia hali hiyo kuwanyonya Wakenya ambao tayari wanakabiliwa na gharama kubwa ya maisha.