Skip to main content
Skip to main content

Mvua kubwa yatarajiwa katika maeneo ya Magharibi mwa Kenya miezi ya Oktoba , Novemba na Desemba

  • | Citizen TV
    261 views
    Duration: 1:26
    Idara ya utabiri wa hali ya hewa imebashiri kwamba mvua kubwa ya Elnino inatarajiwa katika maeneo ya Magharibi mwa Kenya katika miezi ya Oktoba , Novemba na Desemba. akizungumza hapa Jijini Nairobi, Naibu mkurugenzi wa Idara hiyo Charles Mugah, amesema kuwa mvua za vuli zinatarajiwa kuwa kubwa kiliko kiwango cha kawaida katika maeneo mengi nchini.