Skip to main content
Skip to main content

Mwanafunzi adungwa kisu Ruthimitu, mshukiwa akamatwa

  • | Citizen TV
    16,923 views
    Duration: 2:48
    Shule ya Sekondari ya Ruthimitu iliyoko huko Dagoreti South hapa jijini Nairobi inalaumiwa baada ya mwanafunzi wa kidato cha tatu kumdunga mwanafunzi mwen zake kisu na kumjeruhi vibaya. Yadaiwa mwanafunzi huyo alidungwa na mwen zake wakati alikuwa akijaribu kuwatengeza wanafunzi wengine waliokuwa wakipigana. Kama anavyorifu Franklin Wallah, mwanafunzi aliyejuhiwa, angali anatibiwa, na mshukiwa ametiiwa nguvuni.