Skip to main content
Skip to main content

Mwanafunzi John Midigo apotea Kasarani, familia yatoa wito wa msaada

  • | Citizen TV
    4,102 views
    Duration: 1:37
    Maafisa wa polisi na familia katika maeneo ya ongata rongai na kasarani wameanzisha msako wa kumtafuta kijana john midigo, mwenye umri wa miaka 20, aliyetoweka mnamo septemba 14, 2026.