18 Sep 2026 10:36 am | Citizen TV 4,102 views Duration: 1:37 Maafisa wa polisi na familia katika maeneo ya ongata rongai na kasarani wameanzisha msako wa kumtafuta kijana john midigo, mwenye umri wa miaka 20, aliyetoweka mnamo septemba 14, 2026.