Skip to main content
Skip to main content

Mwanamke Bomba | Esther Nyaribari awainua wasichana kupitia ushonaji

  • | Citizen TV
    352 views
    Duration: 5:37
    Esther Nyaribari kutoka Kijiji cha Kendeera, Kibonyoru Kaunti ya Nyamira anaendelea kuifaa jamii yake kutokana na jitihada zake za kuwapa wasichana, wajane na kina mama wadogo nafasi ya kujichumia riziki kupitia ushonaji nguo. Esther mwenye umri wa miaka 35 anasema mpango huo umewavutia wasichana hususan wale waliojifungua watoto wakiwa wadogo ili kuimarisha mapato yao. Mpango huo mpaka sasa umewafaidi zaidi ya wasichana 200...Esther ndiye wiki hii tunamvisha koja la mwanamke Bomba