Wingu la huzuni limetanda katika kijiji cha Thamanda, Muguga, eneo bunge la Kikuyu, baada ya mwanamume mwenye umri wa miaka 26 kupatikana ameuawa na mwili wake kutupwa chini ya daraja la reli la Muguga karibu na Barabara Kuu ya Nairobi–Nakuru. Marehemu, William Macharia, alikuwa seremala. Familia yake sasa inataka haki itendeke ,maafisa wa polisi wakianza uchunguzi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive