- 3,226 viewsDuration: 2:39Hofu na maswali yagubika wakaazi wa Kiserian kaunti ya Kajiado baada ya mwili wa mwanaume mmoja kupatikana ndani ya tanki la maji la lita elfu kumi katika nyumba za kukodisha usiku wa kuamkia leo. wakaazi wanalaumu hali duni ya usalama eneo hilo na kuchelewa kwa maafisa wa polisi kufika eneo la tukio.