Skip to main content
Skip to main content

Mzee wa miaka 105 apandikizwa mguu bandia Tharaka Nithi

  • | Citizen TV
    6,165 views
    Duration: 3:04
    Mzee mmoja mwenye umri wa miaka 105 ambaye alipoteza mguu wake kwenye mapigano ya uhuru wakati wa vita vya Mau Mau sasa amepata uwezo wa kutembea tena. Mzee Mwathi Mukinda kutoka kaunti ya Tharaka Nithi anafurahia kurejeshewa heshima na uwezo wa kutembea baada ya kupata mguu bandia.