Skip to main content
Skip to main content

Naibu rais Prof. Kindiki atetewa Taita Taveta

  • | Citizen TV
    471 views
    Duration: 1:45
    Wanachama wa UDA kaunti ya Taita Taveta wamemtetea naibu rais Prof. Kithure Kindiki wakisema nafasi ya unaibu rais ameifanya kwa ustadi mkubwa. Wakiongozwa na Idris Mohammed anayeongoza vuguvugu la "Kumi Bila Break" wanachama hao wanasema eneo la pwani litamuunga mkono Kindiki kuwa naibu wa rais kwa awamu ya pili ya rais William Ruto. Aidha wanachama hao wamesema kupitia ushirikiano wa rais na naibu wake eneo la pwani limepata miradi ya maendeleo hasa miradi ya barabara.