- 3,125 viewsDuration: 1:35Nauli imeongezeka kwa safari zote , Kaunti ya Kitui baada ya bei ya mafuta kupanda jana usiku. Mwenyekiti wa matatu Mwingi, Mwendwa Musembei, amesema kuwa nauli imeongezeka kutoka Mwingi hadi Nairobi pamoja na njia nyingine zote. Hata hivyo amesema wakazi wanapinga bei hizo mpya, jambo linalofanya biashara ya uchukuzi kuwa ngumu kwao.