Nchi 15 za bara Afrika, wakiwemo wenyeji Kenya, wanatazamiwa kushiriki katika michuano ya mwaka huu ya timu ya vijana ya Afrika inayotarajiwa kufanyika jijini Nairobi katika Klabu ya Gofu ya Windsor kuanzia tarehe 23 hadi 26 mwezi Machi.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya