Skip to main content
Skip to main content

Ndovu waharibu mimea mashambani Sweetwaters Kaunti ya Laikipia kwa miaka miwili sasa

  • | Citizen TV
    592 views
    Duration: 2:38
    Wakazi wa Sweetwaters katika Kaunti ya Laikipia wameelezea wasiwasi wao kutokana na uvamizi wa mara kwa mara wa ndovu ambao wamesababisha hasara kubwa ya mazao yao mashambani. Kwa mujibu wa wakazi hao, ndovu hao huvamia mashamba yao kila siku majira ya saa mbili asubuhi, wakiharibu na kula mazao yote. Wanasema hali hiyo imeendelea kwa takriban miaka miwili sasa, jambo lililowaacha wengi wao wakihangaika .