Skip to main content
Skip to main content

Ni nini kilichosababisha mafuriko ya ghafla mpaka wa Nepal na Tibet?

  • | BBC Swahili
    40,135 views
    Duration: 59s
    Utafiti wa Jiolojia wa Marekani unasema mafuriko katika mpaka wa Nepal na Tibet yalisababishwa na "kuporomoka kwa barafu" ikimaanisha kuwa barafu au sehemu ya barafu ilimeguka. Ripoti za awali ziliwafanya mamlaka kuamini kwamba tetemeko la ardhi ndilo lililokuwa chanzo. Chanzo cha kuanguka kwa barafu hakijabainishwa, lakini wanasayansi wameonya kwamba barafu za Himalaya zinayeyuka kwa kasi kutokana na kuongezeka kwa halijoto na mabadiliko ya hali ya hewa. #bbcswahili #tibet #nepal Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw