Skip to main content
Skip to main content

NTSA yawapokonya leseni madereva 62 wa umma, yawaagiza kufanya upya mtihani wa udereva

  • | Citizen TV
    3,192 views
    Duration: 56s
    Mamlaka ya usalama barabarani NTSA, imewapokonya leseni madereva 62 wa magari ya usafiri wa umma na kuwaagiza wafanye upya mtihani wa udereva