Skip to main content
Skip to main content

Obado na washukiwa wenzake kujua hatma yao Novemba

  • | Citizen TV
    3,344 views
    Duration: 3:25
    Aliyekuwa Gavana wa Migori Okoth Obado na washukiwa wenzake wawili watajua hatma yao Novemba mwaka huu, mahakama itakapotoa hukumu katika kesi ya mauaji ya Sharon Otieno. Familia ya marehemu Sharon Otieno imeiomba mahakama imsikumu Obado kifungo cha nje ya gereza, ikisema ameonyesha majuto makubwa na yuko tayari kusaidia kuwalea na kuwasomesha watoto wa Sharon.