- 332 viewsDuration: 1:15Kocha wa timu ya taifa Harambee Stars Benni McCarthy amepata wachezaji wa ziada katika safu ya ushambulizi baada ya kujumuishwa kwa Zechariah Nahum Obiero na Clarke Oduor katika timu hiyo nchini Rwanda. Wawili hao waliachwa nyuma Nairobi walipokuwa wakisubiri pasipoti zao mpya za Kenya.