Skip to main content
Skip to main content

ODM yasuta upinzani kuhusu afya ya Raila Odinga, yasema haitajiondoa serikalini

  • | Citizen TV
    5,239 views
    Duration: 2:13
    Viongozi wa ODM sasa wamewasuta wenzao wa upinzani na kuwataka kukoma kumuingilia kinara wao Raila Odinga. Viongozi hao waliozungumza oyugis kaunti ya Homa Bay wamesema chama cha chungwa hakitabanduka katika serikali ya muungano na Rais William Ruto