- 14,209 viewsDuration: 2:18Chama cha ODM sasa kinadai kuwa wenzao katika UDA wanakikosea chama cha chungwa heshima na kuwataka wakome. katika mkutano wa kamati simamizi ya chama hicho, odm inadai kuwa baadhi ya viongozi wa uda wamekuwa wakitoa matamshi yasiyofaa dhidi ya viongozi wa odm hatua ambayo imezua hali tete miongoni mwa vyama hivyo.