- 8,514 viewsDuration: 4:01Seneta wa Vihiga Godfrey Osotsi ametimuliwa kama naibu kinara wa chama cha ODM. Kwenye mkutano maalum wa wajumbe wa chama cha chungwa, katibu mkuu wa ODM Edwin Sifuna aliponea shoka huku chama hicho kikitangaza kuanza mchakato wa kuwaadhibu waasi. Dkt. Oburu Oginga aliidhinishwa rasmi kuwa kinara wa chama hicho.