Skip to main content
Skip to main content

Picha za CCTV zaibua maswali kuhusu uvamizi wa All Saints

  • | Citizen TV
    26,735 views
    Duration: 3:40
    Tukisalia kwenye suala la uvamizi wa All Saints' Cathedral Nairobi, picha za CCTV zilinasa matukio ya vurugu yaliyotokea mara mbili ndani ya saa mbili katika kanisa hilo. Kundi la wahuni waliovamia eneo hilo lilinaswa likiwapora baadhi ya waliokuwapo. Tukio hilo limeibua maswali kuhusu hali ya usalama na madai ya kuchelewa au kutotosha kwa hatua za kudhibiti vurugu.