Skip to main content
Skip to main content

Polisi kaunti ya Kitui wawakamata watu wawili wakisafirisha tani 16 za ngozi za punda

  • | Citizen TV
    939 views
    Duration: 1:35
    Watu wawili wametiwa mbaroni na maafisa wa polisi wanaopiga doria mipakani katika eneo la Kanyonyoo kaunti ya Kitui wakisafirisha tani 16 za ngozi za punda kwa lori.