Skip to main content
Skip to main content

Polisi nakuru wanasa ethanol na pombe haramu

  • | Citizen TV
    85 views
    Watu wawili wamekamatwa huku lita 230 za kemikali aina ya ethanoli na lita ishirini za pombe aina ya chang’aa, kunaswa katika operesheni iliyofanyika jumapili jioni katika eneo la Murogi – Free Area na mwariki eneo bunge la Nakuru Mashariki. Waliokamatwa ni wagema wawili mama na mwanawe wa kiume, waliofumaniwa nyumbani kwao katika eneo la Murogi