Skip to main content
Skip to main content

Polisi wavamia shamba la bangi la ekari 3 Mwingi

  • | Citizen TV
    8,235 views
    Duration: 1:16
    Polisi wamegundua shamba la bangi lenye ukubwa wa ekari tatu katika eneo la Mwingi, Kaunti ya Kitui. Bangi hiyo inakadiriwa kuwa na thamani ya takriban Sh60 milioni, huku mshukiwa wa biashara hiyo akitoroka.