Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto ahudhuria tamasha la Tobong' Lore huko Turkana

  • | Citizen TV
    1,197 views
    Duration: 1:34
    Rais William Ruto ametetea ndoto yake ya kubadilisha Kenya kutoka kwa viwango vya mataifa maskini hadi kufikia mataifa tajiri zaidi duniani, akisema wakenya wana nafasi na rasilmali ya kutosha kubadilisha Kenya kwa miaka 10 ijayo. Akizungumza katika eneo la Lodwar Kaunti ya Turkana leo, Rais Ruto aliwakashifu viongozi wa upinzani ambao wamekashifu mpango huo, akiongeza kwamba viongozi hao hawana maono.