Rais wa Slovenia azuru Kenya kwa mara ya kwanza

  • | KBC Video
    39 views

    Kenya na Slovenia zimekubaliana kutekeleza juhudi za kuendeleza biashara na uwekezaji, kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa pamoja na kuimarisha amani na usalama katika kanda hii . Kwenye mkutano wao katika ikulu ya Nairobi, rais William Ruto na mwenzake wa Slovenia, Natasa Musar , viongozi hao walisema kuna haja ya kudumisha amani katika eneo la upembe wa Afrika na jamhuri ya kidemokrasia ya Congo. Rais Musar, ambaye ni rais wa pili wa Slovenia kuzuru Kenya, atakuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku kuu ya Madaraka katika kaunti ya Homa Bay siku ya jumapili . Giverson Maina na maelezo zaidi.

    Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/

    #kbcchannel1 #news #kbclive