17 Apr 2026 1:30 pm | Citizen TV 1,710 views Duration: 58s Rais William Ruto alitia saini Mswada wa Marekebisho ya ushuru wa thamani ya bidhaa wa mwaka 2026 kuwa sheria katika Ikulu ya Nairobi hapo jana baada ya bunge kuidhinisha mswada huo.