15 Apr 2026 10:24 am | Citizen TV 1,105 views Duration: 40s Rais William Ruto atakamilisha ziara yake ya siku nne katika kaunti za Kisii na Nyamira leo..kiongozi wa taifa anatarajiwa kuzindua miradi kadhaa maeneo ya Bomachoge Chache, Mugirango Kusini na Bonchari.