- 16,687 viewsDuration: 27sRoketi ya SpaceX ambayo imekuwa baharini tangu tarehe 24 Julai inavutwa kuelekea kwenye maji ya karibu na Christmas Island. Wahandisi wanajaribu kuirejesha baada ya kutua salama kwenye Bahari ya Hindi ikiwa bado nzima Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw