- 23,684 viewsDuration: 1:21Rais William Ruto wa Kenya ameagiza msako dhidi ya wachuuzi wa kigeni na wageni wanaoendesha biashara ndogo ndogo nchini humo, huku akielekeza zoezi hilo kuanza Jumatatu, Septemba 7. Ruto aliwaambia wafanyabiashara wadogo katika mkutano uliofanyika Ikulu kwamba kuanzia wiki ijayo, wafanyabiashara wageni wanaojihusisha na biashara ndogo wanapaswa kuzifunga na akasisitiza kuwa biashara hizo zinapaswa kuwa za Wakenya. #bbcswahili #kenyantiktok🇰🇪 #williamruto Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw