Skip to main content
Skip to main content

Ruto aagiza ujenzi wa vituo vya kurekebisha waathiriwa wa mihadarati kote nchini

  • | Citizen TV
    1,241 views
    Duration: 36s
    Rais William Ruto ameagiza kujengwa kwa vituo vya serikali vya kurekebishia tabia kwa waathiriwa wa mihadarati na pombe kwenye kaunti zote nchini. Rais akisema kuwa hatua hii itasaidia pakubwa kudhibiti uraibu huo.