- 15,216 viewsDuration: 2:00Rais William Ruto ameingilia mjadala kuhusu masaibu ya aliyekuwa waziri wa zamani Raphael Tuju akisema, Tuju anahitaji marafiki wa kweli kumsaidia na wala sio viongozi wa upinzani anaodai wanampotosha. Akizungumza wakati wa ziara yake huko Nyanza, Ruto pia alimtetee Rais mstaafu Uhuru Kenyatta na kuwataka wanaomtaja kuhusiana na suala zima la Tuju kukoma. Haya yanajiri huku viongozi wa upinzani wakishtumu matamshi ya Rais na kudai huenda anahusika na mzozo unaoendelea kuhusiana na ardhi ya Tuju inayopigwa mnada kutokana na deni kutoka kwa Benki ya Maendeleo ya Afrika Masharik