- 1,485 viewsDuration: 3:04Rais William Ruto amemzawadi bingwa wa mbio za marathon, Sebastian Sawe shilingi milioni 8 baada ya kuandikisha rekodi mpya ya dunia kwenye mbio za marathon jijini London. Sawe alivunja rekodi kwa kutumia saa 01 dakika 59 na sekunde 30 kwenye mbio hizo. Sawe ndiye mtu wa kwanza kukimbia mbio hizo kwa chini ya saa mbili.