Skip to main content
Skip to main content

Ruto amzawadi Sebastian Sawe baada ya rekodi ya London Marathon

  • | Citizen TV
    1,485 views
    Duration: 3:04
    Rais William Ruto amemzawadi bingwa wa mbio za marathon, Sebastian Sawe shilingi milioni 8 baada ya kuandikisha rekodi mpya ya dunia kwenye mbio za marathon jijini London. Sawe alivunja rekodi kwa kutumia saa 01 dakika 59 na sekunde 30 kwenye mbio hizo. Sawe ndiye mtu wa kwanza kukimbia mbio hizo kwa chini ya saa mbili.