- 257 viewsRais William Ruto ameanza rasmi ziara yake ya siku tano katika kaunti za Pwani kwa kutoa hati miliki 33,000 katika hafla iliyofanyika katika Bustani ya Mama Ngina, Kaunti ya Mombasa. Ruto amesema kuwa hatua hiyo itasaidia kutatua changamoto ya uskwota katika kaunti za Pwani.