Rwanda yakubali kuwahifadhi wahamiaji 250 kutoka Marekani
Marekani na Rwanda zimekubaliana kuwa nchi hiyo ya Afrika itapokea hadi wahamiaji 250 waliofukuzwa kutoka Marekani, msemaji wa serikali ya Rwanda na afisa mmoja aliliambia shirika la Reuters, huku utawala wa Rais Donald Trump ukichukua mkondo mkali juu ya wahamiaji.
Ikulu ya White House na Wizara ya Mambo ya Nje haikutoa maoni mara moja huku Idara ya Usalama wa Taifa ikielekeza maswali yaulizwe kwa Wizara ya Mambo ya Nje.
Awali Rwanda ilikuwa na ushirikiano wa kuwapokea wahamiaji kutoka Uingereza uliosimamishwa na mahakama kuu ya Uingereza hata baada ya serikali ya nchi hiyo kuilipa Rwanda mamilioni ya pauni kuendeleza mpango huo.
Swali ni je, mpango huu utatekelezwa vipi? Na una tofauti gani na ule wa Uingereza? Rwanda na Marekani wanafaidika vipi?
@RoncliffeOdit anaangazia hili na mengine Mengi leo saa tatu usiku katika Dira ya Dunia TV, itakayokujia mubashara kupitia ukurasa wa YouTube BBC Swahili.
#bbcswahili #marekani #rwanda
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
5 Aug 2025
- The feature is set to revolutionalise how the messaging platform works.
5 Aug 2025
- The products have grown in popularity among women.
5 Aug 2025
- Details required to register a car in Kenya.
5 Aug 2025
- Quickmart Supermarket has suspended staff members involved in an altercation with two customers at its Buruburu branch, following allegations of mistreatment.
5 Aug 2025
- Quickmart Supermarket has suspended staff members involved in an altercation with two customers at its Buruburu branch, following allegations of mistreatment.
5 Aug 2025
- The Democracy for Citizens Party (DCP) led by former Deputy President Rigathi Gachagua, has officially unveiled its candidates for several upcoming by-elections.
5 Aug 2025
- Siaya County Deputy Governor William Oduol now proposes a dialogue to unlock the growing impasse between him and Governor James Orengo.
5 Aug 2025
- KMPDU has demanded the immediate shutdown of 13 hospitals in Kiambu County, citing a worsening healthcare crisis as the doctors’ strike in the devolved unit enters its 71st day.
5 Aug 2025
- Siaya Deputy Governor William Oduol has broken his silence over leadership wrangles rocking the county.
5 Aug 2025
- The incident, captured in a video that has since gone viral, shows two customers describing their experience
5 Aug 2025
- EACC National Ethics and Corruption survey of 2024
5 Aug 2025
- Kibera spirit meets devolution as counties rally behind youth tech agenda
5 Aug 2025
- The feature is set to revolutionalise how the messaging platform works.