Skip to main content
Skip to main content

Sekta ya uchukuzi kaunti ya Kisii yaathirika baada ya vituo vya mafuta kufungwa kwa kukosa bidhaa

  • | Citizen TV
    683 views
    Duration: 7:38
    Sekta ya usafiri mjini Kisii inaendelea kuathirika kufuatia uhaba wa mafuta unaozidi kushuhudiwa maeneo mbalimbali nchini. Madereva wa magari pamoja na wenzao wa pikipiki wakiendelea kuweka foleni katika vituo chache vilivyo na bidhaa hiyo.