Skip to main content
Skip to main content

Seneta maalum wa kaunti ya Mombasa Miraj Abdallah aitaka serikali kukarabati viwanja vya michezo

  • | Citizen TV
    211 views
    Duration: 1:32
    Seneta Maalum wa kaunti ya Mombasa, Miraj Abdallah, ameitaka serikali ya kitaifa kuingilia kati na kukarabati viwanja vya michezo, ili kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa maeneo ya kufanyia mazoezi na kukuza vipaji miongoni mwa vijana wa kaunti hiyo.