MAKADIRIO YA SERIKALI
Waziri wa fedha John Mbadi amesema serikali itaanza kutekeleza pendekezo la kuondoa ushuru wa mapato kwa watu wanaolipwa mshahara wa chini ya shilingi elfu 30,000 kwa mwezi. Mbadi anasema ushuru huo utapunguzwa kutoka aslimia 30 hadi asilimia 25 kwa wale wanaolipwa mshahara wa kati ya shilingi 30,001 na shilingi 50,000. Pendekezo hilo litawasilishwa bungeni ili kuidhinishwa katika siku zijazo.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive